JE NI HARAMU KUTUMIA MAJI YALIOSOMEWA KATIKA KUJITWAHIRISHA?
Swali: Je yafaa kutumia maji yaliosomewa na maji ya kawaida katika kujitwahirisha?
Jibu: Hakuna ubaya wa kutumia maji yalio changanywa katika kujitwahrisha au kutumia sampuli yoyte ile,si dhambi wala mtu hadhuriki kama watu wengi wanavyo dhania.
Na Allah ndie mjuzi zaidi
Mowqica Dacwadda iyo Barashadda Diinta ee Kitaabka iyo Sunadda calaa Fahmi Salafus-Saalix